Posts

SIFA ZA MALENGO

 *SIFA ZA MALENGO* 1. Yawe wazi yaani yaweze kueleweka kwa wepesi 2. Malengo yanatakiwa kuandikwa  -Usiweke malengo kichwani peke yake fanya kuandika malengo yako.. 3. Yawe na uhalisia   - Usiweke malengo nje ya uhalisia. -Usiweke malengo ya mauzo ya 100M kwa mataji wa 10K. 4. Yaweze kupimika -Usiweke malengo ambayo hayawezi kupimika kwa mda husika. 5. Malengo yategemee na hali ya sasa. - Usiweke malengo nje ya uhakisia wako wa sasa. 6. Yawe na mda maalumu. - Usiweke malengo yasiyo na mda maalumu. Inaweza kuwa mwaka/mwezi. 7. Weka malengo ambayo yanaweza kutekelezeka. - Usiweke malengo magumu sana mpka unaogopa kutekeleza. 8. Malengo hayatakiwi kuwa mengi mpka yakuvuruge. - Utakuta mtu ana malengo mengi mpaka yana mvuruga. 9. Jitaidi malengo yako yakite sehemu nyeti kwenye biashara yak. - Mfano sasa unataka ufike mauzo ya (3,000,000) kwa mwezi (3M) je utafanyaje? - Tumia mbinu- Zingatia kanuni 80/20 rule - Gawanya mauzo 3M kwa siku 30 kwa siku ni mauzo ya 100,000 ...

SIKU YA KWANZA NILIPO INGIA MOCHWARI NILICHO KIONA NI NGUMU SANA KUELEZEA

Tuanzeee.............  Kwanza niliona maneno yameandikwa (TULIKUWA KAMA WEWE). Kuelekea mlango wa kutokea niliona maneno yameandikwa (HIVI KARIBUNI UTAUNGANA NASI). Mh..! Kwa hakika niliogopa sana kuona miili ya watu ikiwa imelazwa katika sakafu pasipo kufunikwa kitu. Kulikuwa na maiti zaidi ya hamsini katika meza za kuoshea maiti,mingine ndani ya majokofu. Kulikuwa na miili ya watu wa jinsia zote.Tukasonga ndani zaidi kuelekea mahali ulipo hifadhiwa mwili wa rafiki yetu.Tulipoufikia mhudumu wa mortuary alifunua na ulikuwa haujavishwa nguo na umelazwa juu ya ubao. Nilimuangalia sana marehemu rafiki yetu akiwa amelala pale utupu,hakuweza hata kufunika utupu wake kwa mikono yake,wala kupinga chochote kile.  Nikajiuliza sana NINI MAANA YA MAISHA? Kwanini tunatumia nguvu nyingi kutaka kumiliki kila kitu katika Dunia hii na wakati mwingine hata kwa kuwaumiza wengine? Kwanini tunakiburi,majivuno na ubinafsi kama tunaimiliki Dunia na pumzi ya uhai wetu? Kwanini hatuwezi hata kuwasam...

Michael Jackson na mazombi

    Karibu tena katika blog hii jifunzekit leo nimekuandikai makala hii nzur kwa ajil ya kuamsha ubongo wako na hasira yako ya ndani katika mapinduzi  Tuanzeeeee.........  Mwaka 2005 lilifanyika tamasha kubwa sana la Muziki nchini Uingereza lililoitwa "Make Poverty History" kwa lengo la kuhimiza nchi zenye uchumi mkubwa G5 kutimiza haki za kiuchumi "economic justice" Kabla ya hili tamasha, mwaka 1985, Michael Jackson aliandika wimbo unaitwa "We are the world" ambao aliimba pamoja na kundi la wanamuziki waliojipa jina la US for Africa kuelezea janga la njaa Afrika. US For Africa iliuza copy zaidi ya millioni 20. Lakini bado Afrika inaandamwa na zimwi la umasikini na sababu kubwa ni hii; ongezeko la uzalishaji mali "productivity growth" haliendi sambamba na ongezeko la idadi ya watu ambao wanakula wasichozalisha "we consume what we don't produce" Takwimu zinaonyesha kwamba matatizo mengi ya kijamii yanatokana na "umasikini" ...

Utabiri wa nyota Aliamisi 18/4/2024

 USOMAJI NYOTA ALHAMISI 18/4/2024 MBUZI Mtu anajuta kukutupa mbali, anaweza kuwa anarudi. Usiwaze kuhusu siku zijazo, usiwaze katika kichwa chako kuhusu hilo! Kila kitu kitageuka kuwa cha kushangaza. Hivi karibuni utapata msamaha huo kutoka kwa mtu wako. Pesa nyingi zitaingia (July). Maisha ya anasa. Mtu anafikiria kuwa umemkasirikia ndiomana anajishtukia. Kumuokoa mnyama.  NDOO Mtu atalipia kutengeneza kucha zako. Kurejeshewa (refund) kitu. Kuona rangi halisi za mtu kazini. Kupandishwa cheo na kuwa kiongozi wa zamu. Kupatana na ex wako, na kumpa nafasi ya mwisho. Video yako kusambaa mbali kwenye TikTok. Mazuri zaidi bado yanakuja. Kupanuka katika maisha yako, hakuna tena kukwama katika sehemu moja, kueneza mbawa zako yaani kujiachia. Milango mipya inafunguliwa mwezi May. Barabara ya utajiri. Kuona 777.  SAMAKI Chochote unachokihairisha kifanye! Kupata unafuu mwingi juu ya hali yako ya kifedha. Kuumiza kichwa wakati mtu wako anafikiria kupita kiasi kuhusu wewe. Kujisikia ...

Utabiri wa nyota wa jumanne 16/4/2024

 USOMAJI NYOTA JUMANNE 16/4/2024 MBUZI Chakata mambo kwanza kabla ya kufanya maamuzi yoyote zaidi. Kutaka kutumia muda peke yako? Au kujikuta ukitumia muda fulani peke yako. Kupata mapenzi mapya baada ya kuteseka na mshtuko wa moyo (heartbreak). Kukutana na ex na kuanzisha upya mambo. Rafiki atakusaidia kwa njia kubwa iwezekanavyo. Kupata faida zaidi kwenye malipo kuliko kawaida. Kuchukulia mitandao ya kijamii kwa uzito zaidi.  NDOO Mtu uliyemsahau anakaribia kuleta visa (drama). Mama yako ataku surprise kwa kitu kikubwa, inaweza kuwa gari kwa wengineo! Kuacha kazi yako, ukihisi kutakiwa kufanya hivyo. Kujisikia kubarikiwa zaidi ya unavyolinganishwa. Kuona mambo katika mtazamo chanya. Kujifunza kuachana na mtu wa tangu miaka hiyo iliyopita, hatimaye kukata tamaa ya kupatanishwa. Kuanza kazi mpya, hii inakuja wakati unahitaji sana.  SAMAKI Huenda ukapata deja Vu leo yaani kuona matukio ambao huenda yalikwishatokea kwenye maisha yako ya zamani kabla hujazaliwa upya ukahisi ...

Utabiri wa nyota jamatatu tarehe 15/4/2024

USOMAJI NYOTA JUMATATU 15/4/2024  PUNDA Kadri unapoendelea kujichagua we mwenyewe na kujiweka sawa kimaisha na kuanza uponyaji, huyu ex ambaye anaweza kuwa ni mwenye nyota ya Ndoo atajaribu kurudi. Unaweza kuzungumza kama marafiki ikiwa unataka, lakini usije kuanguka au kunasa kwa maneno yake. NG'OMBE Najua umekuwa mchovu sana hivi majuzi na unahisi kuvunjika moyo. Nahitaji ujue kuwa ni zamu yako inayokuja sasa kuwa na furaha. Ni wakati wa wewe kuwa na furaha, utulivu wa kifedha, katika mapenzi na udhibiti wa maisha yako na siku zijazo. MAPACHA Pindi unapohitaji kufanya kitu muhimu, chochote ambacho kinaweza kwenda vibaya, kinaenda vibaya siku ambayo unahitaji amani kufanya kitu muhimu. Mtu anakuombea anguko lako wiki hii, ana mipango mibaya dhidi yako. Endelea kuombewa upate ulinzi. Una mtu wa zamani anayerudi. Lakini unaonywa usipoteze kile unachohitaji kufanya. Una mambo ambayo unapaswa kufanya na kuzingatia kwa sasa. Umefika mbali sana na maisha yako na huhitaji kuwa na vikwazo...

Kwako mwanaume

 *Kwako Mwanaume!!! Utapoteza Mke Kwa Umasikini Unaonuk Ukiwa huna kazi, huna biashara, huna hela na huna namna ya kupata hela "mbele giza na nyuma giza" na wewe ni baba wa familia, mtafute mwanaume mwenzako unayemuamini awe ndugu au rafiki mkae msaidiane mawazo au namna ya kufanya kabla haujamwambia mkeo.  Hakuna kitu wanawake wengi "wa sasa" hivi hasa wa mjini "vijijini sio sana" wanachanganyikiwa wanapogundua "baba wa familia" yaani "provider" huna mbele wala nyuma na huna majibu ya umasikini unaonukia. Unaweza "ukampoteza" au akaomba ushauri "kwa watu wasiojulikana" na kupata "majibu yasiyojulikana". Usiposoma "between lines" unaweza usinielewe lakini kuna siku utanikumbuka